SectionsExitMimi Ni Mtumishi

Mimi Ni Mtumishi

Ordinary Time,Ordinary Time,MarianExit
Chorus

{ Mimi ni mtumishi wake Bwana, nitendewe ulivyonena *2

Nitendewe ulivyonena, mimi ni mtumishi wa Bwana } *3

Verse 2

Salamu uliyejaa neema, Bwana yu pamoja nawe

Usiogope Maria, Mungu kakupendelea

Verse 3

Tazama utapata mimba utazaa mwana, utamwita jina Yesu,

Huyu atakuwa mkuu, ataitwa mwana wa aliye juu

Verse 4

Bwana Mungu atampa kiti cha enzi, cha Baba yeke Daudi

Ataitawala nyumba ya Yakobo hata milele

Ufalme wake hautakuwa na mwisho