SectionsEucharistMimi Ni Mkate Wa Uzima

Mimi Ni Mkate Wa Uzima

Easter,Easter,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeEucharist
Verse 1

Mimi ni mkate wa uzima, ajaye kwangu hataona njaa.

Mtu hawezi kunijia kamwe, asipovutwa na Baba yangu.

Chorus

Nitamfufua kweli, nitamfufua kweli

Nitamfufua kweli, siku ya mwisho.

Verse 3

Mkate huu ni mwili wangu, kwa uzima wa ulimwengu.

Aulaye mkate huo, kweli ataishi milele yote.

Verse 4

Mimi ni ufufuko, Mimi ni uzima,

Yeye aniaminiye ajapokufa, atakua hai.

Verse 5

Mimi ni njia, mimi ni mlango,

Aingiaye kwa mimi, ataokoka na kushibishwa.

Verse 6

Ee Bwana, twaamini, wewe ndiwe yule

Mtakatifu wa Mungu, ulituletea kweli uzima.