SectionsEucharistMimi Ndimi Njia

Mimi Ndimi Njia

Ordinary Time,Ordinary TimeEucharist
Chorus

Bwana akawaambia tena akasema,

Mimi ndimi njia ukweli na uzima *2

Mtu haji kwa Baba yangu, ila kwa njia yangu mimi

Mimi ndimi njia ukweli na uzima

Verse 2

Mtu akinipenda, atalishika neno langu,

Na Baba yangu atampenda

Verse 3

Kaeni ndani yangu nami, nikae ndani yenu

Kwa maana mimi ni mzabibu

Verse 4

Mimi ni njia kweli, mimi ni njia ya uzima

Ajaye kwangu ana uzima