SectionsEucharistMimi Ndimi Mzabibu

Mimi Ndimi Mzabibu

Easter,Easter,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeEucharist
Chorus

{ Mimi ndimi mzabibu wa kweli,

Mimi ni mzabibu wa kweli

Nanyi m matawi yangu, asema Bwana } *2

Verse 2

[ b ] Na Baba yangu ndiye mkulima,

Kila tawi lisilozaa, Baba hulikata

Nalo tawi lizaalo, Baba hulisafisha, ili lizidi kuzaa

Verse 3

Kaeni nyote ndani yangu mimi,

Nami nikae ndani yenu, kwa maana mtu

Akaaye ndani yangu, nami ndani yake, huyo huzaa matunda

Verse 4

Mimi ni mti mti wa zabibu,

Nanyi ndinyi matawi ya mzabibu huu

Tawi linalojitenga, kutoka kwa mti huu, hunyauka tena hufa