Chorus
{ Mimi ndimi mzabibu wa kweli,
Mimi ni mzabibu wa kweli
Nanyi m matawi yangu, asema Bwana } *2
Verse 2
[ b ] Na Baba yangu ndiye mkulima,
Kila tawi lisilozaa, Baba hulikata
Nalo tawi lizaalo, Baba hulisafisha, ili lizidi kuzaa
Verse 3
Kaeni nyote ndani yangu mimi,
Nami nikae ndani yenu, kwa maana mtu
Akaaye ndani yangu, nami ndani yake, huyo huzaa matunda
Verse 4
Mimi ni mti mti wa zabibu,
Nanyi ndinyi matawi ya mzabibu huu
Tawi linalojitenga, kutoka kwa mti huu, hunyauka tena hufa