SectionsExitMimi Ndimi Mwanzo

Mimi Ndimi Mwanzo

Ordinary TimeExit
Verse 1

Mimi ndimi mwanzo tena mwisho Bwana kasema

Nitawaokoa watu wangu kwa dhambi zao

Chorus

Asifiwe -asifiwe Bwana wa majeshi

Ameshinda -ameshinda dhambi za dunia

Utukufu -Utukufu uwe naye sasa

Tangu leo -tangu leo hata na milele mm

Verse 3

Kule kaburini alimfufua yule Lazaro

Tena akaokoa yule mama Msamaria

Verse 4

Kule Galilaya aligeuza maji divai,

Ukimwamini Yesu atageuza maisha yako