Mimi Nashindwa
Easter,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeThanksgiving
Chorus
Mimi nashindwa ni namna gani nikushukuruje
Bwana (wangu), Kwani mema yote unayonitendeanni ya ajabu kwangu (mimi)
Sikiliza Bwana kilio changu cha kukushukuru
Ninakushukuru Bwana wangunmimi nakushukuru Nasema asante (sana) Baba
Verse 2
Unitoe katika bonde la aibu,
Uniweke katika kundi la kondoo wako
Verse 3
Nilisifu daima jina lako wewe,
Nikiwa ni shahidi niliye ndani ya Baba