SectionsEucharistMimi Mzabibu Wa Kweli

Mimi Mzabibu Wa Kweli

Easter,Easter,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeEucharist
Chorus

[s] Mimi mzabibu wa kweli, mimi mzabibu wa kweli,

Nanyi m matawi yangu, Baba yangu ni mkulima,

Mwenye kutunza shamba lake } *2n[s] Tawi lile lisilozaa

Baba yangu huliondoa, na kuliteketeza moto,n[s] Tawi lile linalozaa

Baba yangu hulisafisha, lidumu katika kuzaa

Hayo - hayo ni maneno ya Bwana Yesu }*2

Verse 2

Nyinyi mmekwisha, kuwa wasafi,

Kwa sababu ya neno, nililowaambia

Kaeni nami, ndani yangu,

Na mimi na mimi na mimi ndani yenu

Verse 3

Akaaye ndani yangu, huyo atazaa

Kwani nje yangu, hataweza kuzaa

Kama vile nje ya mzabibu,

Tawi halitaweza kamwe kuzaa.

Verse 4

Maneno yangu yakikaa ndani mwenu,

Ombeni lolote mtatendewa

Naye Baba yangu atatukuzwa,

Na nyinyi mtakuwa wanafunzi wangu