SectionsThanksgivingMilele Milele Msifuni

Milele Milele Msifuni

Easter,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeThanksgiving
Verse 1

Milele milele msifuni Bwana

Na ahimidiwe Bwana milele,

Amina, amina, aleluya

Rehema za Bwana ni za milele

Na uaminifu wa Mungu wetu,

Ni kwa vizazi hata vizazi

Chorus

{ Njooni, tuimbe, tumwimbie Bwana

Yeye (ndiye) wokovu, wokovu wetu (Bwana)

Ni Mungu wetu na mwumba wetu, aleluya aleluya } *2

Verse 3

Nitakushukuru ee Bwana Mungu

Nitalishukuru jina la Bwana,

Ee Bwana mfalme Mungu wangu

Pigeni vigelegele pigeni

Pigeni magoti mbele za Bwana

Kwa maana ndiye Mungu wetu

Verse 4

Atawabariki wamchao Bwana

Wadogo wakubwa awabariki

Msaada wao na ngome yao

Tazama atabarikiwa hivyo

Atabarikiwa amchaye Bwana

Awabariki toka Sayuni