SectionsEntranceMfanyieni Shangwe

Mfanyieni Shangwe

Ordinary TimeEntrance
Chorus

Mfanyieni shangwe dunia yote,

Na mtumikieni kwa furaha. x2

Verse 2

Njooni mbele za Bwana kwa kuimba,njueni kwamba yeye ndiye Mungu.n

Alituumba tuko watu wake, sisi ninkondoo wa malishoye.n

Piteni malangoni kwa shukurani,ndaima himidini jina lake.