Chorus
Mfano huu ni wa nani, ni sura ya Kaisari *2
Basi, Mpeni Kaisari yaliyo ya Kaisari
Pia, Mpeni naye Mungu yaliyo yake Mungu
Verse 2
Mafarisayo walimwuliza,
Kama ni halali kulipa kodi kwa Kaisari
Verse 3
Lakini Yesu akatambua,
Uovu wao na kujua wanamjaribu
Verse 4
Tutoe zile zake Kaisari,
Pia tumpe Mungu vilivyo vyake Mungu
Verse 5
Mafarisayo walishangaa,
Pia wakamuacha na wakaenda zao