Verse 1
Ilipofika siku kuu Yerusalemunyesu alipanda punda
Wana Israeli wakaja wakapiga kelelenwakisema
Verse 2
Hosanna - hosanna hosanna *2
Mbarikiwa ajaye kwa jina la Bwana *2
Verse 3
Nao walitwaa matawi ya mitende *2
Wakatoka kumlaki wakipiga makelele *2
Verse 4
Usiogope Binti Sayuni, kwani mfalmeo anakuja