SectionsEntranceMfalme Mtukufu

Mfalme Mtukufu

EasterEntrance
Verse 1

Mfalme mtukufu mpeni heshima

Fungueni lango ataingia

Mfalme gani huyu mwenye heshima

Ndiye mwenye nguvu ya kutawala

Verse 2

Lango la milele wazi funguka

Kwani mfalme wetu anaingia

Mfalme gani huyu mwenye heshima

Bwana wa malaika mwenye Imara

Verse 3

Enyi binadamu wenye ibada

Na majeshi yote ya malaika

Tumwabudu Bwana tukamsifie

Tukamtukuze neno, tukamnyenyekee