Chorus
Mezani pake twendeni wote,ntukampokee ametualika *2
Verse 2
Mwili wake ni chakula kweli,
Damu yake kinywaji safi
Verse 3
Alaye mwili na kunywa damu,
Ana uzima wa milele
Verse 4
Mbele ya kwenda tujitakase,
Tutastahili kumpokea
Verse 5
Karibu Yesu ukae nasi,
Njia zako utufundishe
Verse 6
Na mwisho tufurahie nawe,
Katika utukufu wako