Chorus
{ Mbona nahangaika, mkiwa mimi,
Sina hata wa kunifuta machozi } *2
Ni aibu gani iliyonitanda,
Najuta hata siku ya kuzaliwa kwangun{ Maskini mimi, nitakuwa mgeni wa nani,
Nakulilia e Mungu uniokoe } *2
Verse 2
Taabu na matatizo yanisonga mimi
Shida nazo karaha zanisumbua mimi,
Mungu ufanye hima uniokoe.
Verse 3
Nimeugua nikilalama, mnyonge mimi,
Sina rafiki wala mtetezi, mkiwa mimi
Wote wamenigeuka kuniwinda,
Verse 4
Kila waliwazalo juu yangu ni baya,
Kuugua kwangu kumbe ni furaha kwao
Walitaka nife nisahaulike.