SectionsExitMbona Mmegeuka

Mbona Mmegeuka

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeExit
Chorus

Mlipokea nguvu ya Mungu ya kushinda tamaa

Siku ile mlipobatizwa,

Mkaahidi kumkataa, Ibilisi na vyake,

Sasa vipi muwe wabinafsi

Hamshibishwi kwa riziki yenu,

Aliyowapimia Mungu wenu

Mnatafuna riziki ya hao walio wadogo

Mnakula rushwa ndugu zangu

Verse 2

Uhai na nguvu mlivyojaliwa, si kwa ajili yenu,

Ni kwa ajili ya wahitaji

Verse 3

Elimu mliyoipata wapendwa, si utukufu wenu

Akatukuzwe Muumba wenu

Verse 4

Fedha navyo vyeo mlivyoazimwa

Jembe la Mungu wenu, mkatumikie shamba lake

Verse 5

Acheni umimi acheni ulafi, ingawa kuna leo

Kumbuka kwamba na kesho ipo

Verse 6

Kipimo mnachowawia wadogo, hicho kitatumika

Usoni penu siku ya mwisho