Verse 1
Mbali kule nasikia malaika wa mbinguni,
Wakiimba wengi pia wimbo huu juu angani
Chorus
Gloria in excelsis Deo.
Verse 3
Wachunga tuambieninsababu ya nyimbo hizo;nmwenye kwimbiwa ni nani,njuu ya nani sifa hizo?
Verse 4
Je, hamjui jambo kuunla kuzaliwa Mwokozi?
Habari ya wimbo huu ndiyonkumshukuru Mwenyezi.
Verse 5
Kweli, nasi twende hima,ntufke kule aliko,ntuone mtoto na mama,ntuwasalimie huko.