Matoleo Yetu
Marian,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary TimePresentation of Gifts
Chorus
{ Tunaleta matoleo yetu uyapokee,
Ingawaje tumeyapata kwako uyapokee
Kwa huruma yako, Bwana uyapokee
Japo ni dhaifu, Bwana uyapokee, tunakuomba } *2
Verse 2
[ s ] Mkate huu ni kiini cha ngano,
Kwenye ardhi uliyorutibisha wewe, Bwana
Verse 3
Divai ya mzabibu ni yako.
Nguvu za kuilima zimetoka kwako, nasi
Verse 4
Fedha kidogo tulizojaliwa
Vijisenti hivi hapa twakutolea, leo
Verse 5
Ulisema nijaribuni ninyi
Kwa sadaka zenu na matoleo yenu, basi
Verse 6
Kusudi utukuzwe milele
Kama mwanzo na unavyotukuzwa leo, haya