Chorus
{ Mateso yako ee Yesu, yametokana na dhambi
Yametokana na dhambi sisi, sisi wanadamu } *2
Verse 2
Umebeba msalaba, kwa ajili yetu wanadamu
Kuzitoa dhambi zetu, kwa ajili yetu wanadamu
Verse 3
Ee Yesu umeteswa kwa ajili yetu wanadamu
Na ukafa msalabani kwa ajili yetu wanadamu