Verse 1
Mateso yake Bwana Yesu
Yalikuwa ya taabu nyingi
Lakini Bwana wetu Yesu akayavumilia
Chorus
Alipokuwa msalabani, alifadhaika sana
Akasema eloi eloi lama sabakithani (Yaani)
Mungu wangu Mungu wangu mbona umeniacha
Verse 3
Pilato aliwauliza nimtendaje mtu huyu
Wayahudi wakamjibu na asulubiwe
Verse 4
Saa sita ilipofika Bwana Yesu alikata roho
Mara nuru ikatoweka kukawa giza nyingi