SectionsExitMashujaa Wa Imani

Mashujaa Wa Imani

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary TimeExit
Chorus

Hawa ndio wale ambao walipoishi *2

Kweli walipanda kanisa kwa damu yao *4

Verse 2

Walikunywa kikombe cha Bwana

Wakawa marafiki wa Mungu

Verse 3

Mbingu zahubiri utukufu wako

Anga latangaza kazi za mikono yako

Verse 4

Sauti yao imeenea nchi nzima

Na maneno yao hata miisho ya dunia

Verse 5

Usihofu kukiri imani,

Yake Kristu kwa watu wa mataifa

Verse 6

Tuishike imani ya kweli

Yake Kristu ili tupate uzima