SectionsExitMaria Mwombezi

Maria Mwombezi

Marian,Marian,Marian,Marian,MarianExit
Chorus

Maria mwombezi sisi wana wako katikanshida zetu tuwie kinga yetu (Maria)

Twakuomba sana tupe neema zakontuyashinde magumu tufke kwa mwanao

Verse 2

Maria mama kimbilio letu

Uwe kinga pia tulizo letu.

Verse 3

Kwenye majaribu ya ibilisi

Tupe msaada tuweze kushinda.

Verse 4

Mama kimbilio la wakosefu

Wastahili faraja ya mwanao.

Verse 5

Maria tulizo la wenye dhiki

Wapatie faraja na amani.