SectionsExitMaonyo Mbali Mbali

Maonyo Mbali Mbali

Marian,Lent,Ordinary Time,Ordinary TimeExit
Chorus

{ Usitende ovu, usitende ovu,

Jitahidi kukaa mbali na dhambi

Ndugu jihadhari na usitende dhambi mara mbili

Kwani hata kama dhambi moja haitakosa adhabu } *2

Chorus

{ Usiseme Bwana atatazama sadaka na wingi wa sala

Usiwe (daima) mlegevu katika kusali na kutoa sadaka

Usitunge uongo kwa kuwa hakuna tumaini kwa hilo

Usihesabika pamoja na waovu kwani kumbuka ghadhabu haikawii } * 2

Verse 3

Ujinyenyekeze sana roho yako

Kwa maana dhabu ya wakosaji ni moto na kufa

Verse 4

Wala usimbadili rafikiyo kwa chochote

Wala ndugu yako kwa dhahabu ya pili