SectionsExitMama Pale Msalabani

Mama Pale Msalabani

Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Easter,Ordinary Time,Ordinary Time,Christmas,Ordinary Time,Ordinary Time,Wedding,Easter,Wedding,Wedding,Christmas,Ordinary Time,Wedding,Easter,Lent,Ordinary Time,Wedding,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Christmas,Christmas,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,MarianExit
Chorus

Mama pale msalabani, macho yatoka machozi

Akimwona mwanaye, kweli ni huzuni kubwa

Verse 2

Kweli vile akilia, uchungu kama upanga,

Ukampenya moyowe

Verse 3

Mwenye moyo mgumu nani, asimhurumie basi

Mama amlilia mwana

Verse 4

Ewe Mama mtakatifu, usulubiwe na Yesu

Moyo wangu mwenye dhambi

Verse 5

Naye Mwokozi niteswe, na madonda nigawie

Pamoja na ukombozi

Verse 6

Nisimame msalabani, niwe nami wako mwenzi

Wa uchungu na msiba

Verse 7

Nisianguke motoni, uniwie msimamizi,

Ewe bikira mwema

Verse 8

Msikilize mama yako, niponye siku ya mwisho

Ewe Mwokozi wangu

Verse 9

Nitakapokufa mimi, upokee roho basi

Niende kwako Mungu