SectionsExitMama Pale Msalabani {Alternative}

Mama Pale Msalabani {Alternative}

Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Easter,Ordinary Time,Ordinary Time,Christmas,Ordinary Time,Ordinary Time,Wedding,Easter,Wedding,Wedding,Christmas,Ordinary Time,Wedding,Easter,Lent,Ordinary Time,Wedding,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Christmas,Christmas,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,MarianExit
Verse 1

Mama pale msalabani, macho yatoka machozi

Akimwona mwanaye, akimwona mwanaye

Verse 2

Kweli vile akilia, uchungu kama upanga,

Ukampenya moyowe, ukampenya moyowe

Verse 3

Mwenye moyo mgumu, nani asimhurumie basi

Mama mlilia mwana, mama mlilia mwana?

Verse 4

Ewe mama mtakatifu, usulubiwe na Yesu

Moyo wangu mwenye dhambi, moyo wangu mwenye dhambi

Verse 5

Naye Mwokozi niteswe, na madonda nigawie

Pamoja na ukombozi, pamoja na ukombozi

Verse 6

Nisimame msalabani, niwe nami wako mwenzi

Wa uchungu na msiba, wa uchungu na msiba

Verse 7

Nisianguke motoni, uniwie msimamizi,

Ewe Bikira mwema, ewe bikira mwema

Verse 8

Msikilize mama yako, niponye siku ya mwisho

Ewe Mwokozi wangu, ewe Mwokozi wangu

Verse 9

Nitakapokufa mimi, upokee roho basi

Niende kwako Mungu, niende kwako Mungu