Mama Pale Msalabani {Alternative}
Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Easter,Ordinary Time,Ordinary Time,Christmas,Ordinary Time,Ordinary Time,Wedding,Easter,Wedding,Wedding,Christmas,Ordinary Time,Wedding,Easter,Lent,Ordinary Time,Wedding,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Christmas,Christmas,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,MarianExit
Verse 1
Mama pale msalabani, macho yatoka machozi
Akimwona mwanaye, akimwona mwanaye
Verse 2
Kweli vile akilia, uchungu kama upanga,
Ukampenya moyowe, ukampenya moyowe
Verse 3
Mwenye moyo mgumu, nani asimhurumie basi
Mama mlilia mwana, mama mlilia mwana?
Verse 4
Ewe mama mtakatifu, usulubiwe na Yesu
Moyo wangu mwenye dhambi, moyo wangu mwenye dhambi
Verse 5
Naye Mwokozi niteswe, na madonda nigawie
Pamoja na ukombozi, pamoja na ukombozi
Verse 6
Nisimame msalabani, niwe nami wako mwenzi
Wa uchungu na msiba, wa uchungu na msiba
Verse 7
Nisianguke motoni, uniwie msimamizi,
Ewe Bikira mwema, ewe bikira mwema
Verse 8
Msikilize mama yako, niponye siku ya mwisho
Ewe Mwokozi wangu, ewe Mwokozi wangu
Verse 9
Nitakapokufa mimi, upokee roho basi
Niende kwako Mungu, niende kwako Mungu