SectionsExitMama Maria

Mama Maria

Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,MarianExit
Verse 1

Mama Maria mwombezi wetu,

Mama wa neema na wa huruma

Tusikilize mama wa Yesu

Tusikilize wakosefu

Chorus

Twakuomba mama Maria kwa mwanaonmama tuombee sala zetu mama Maria

Kwa mwanao mama zifkishe nyoyo zetunmama Maria zatamani kufka mbinguni

Verse 3

Mama Maria uliye mwema

Tuliza nyoyo zetu wanaontunaposhindwa tusaidientusijebaki katika giza

Verse 4

Mama Maria twakwamini

Mama wa Mungu msaada wetu

Matumaini yetu ni kwako

Katika shida tusimamie

Verse 5

Mama Maria usituache

Umpelekee Bwana maombinatubariki wenye mashaka

Atupe uzima wa milele