SectionsExitMama Maria Pokea Zetu Salamu

Mama Maria Pokea Zetu Salamu

MarianExit
Chorus

Mama Maria pokea zetu salamu, twakusalimu ee Mama wa Mkombozi, leo twakuimbia tukikushangilia x2

Verse 2

Utuombee kwa mwanao yesu kristu,

Tupate heri na maisha ya furahan

Maombi yetu pamoja na sala zetunzifike kwake yesu mkombozi wetun

Twakusalimu salamu mama marianmbarikiwa uliyejaa neeman

Twakuimbia kwa shangwe pia furaha,ntwakusalimu pokea zetu salamu