SectionsExitMama Maria Mama

Mama Maria Mama

Marian,Marian,Marian,Marian,Marian,MarianExit
Chorus

Mama Maria mama tunakusalimu, wewenuliyetukuka uwinguni *2

Tunajinyekeza mbele ya uso wako,

Tunakuimbia nyimbo zetu tunakusifu *2

Verse 2

Ee mama yetu utusikilize, sisi wanaontunakusalimu

Verse 3

Usitutupe tunapokujia, ewe mamanyetu utukaribishe.n

Verse 4

Tunakujia tukiwa na shida utupokeenee mama wa Mungun

Verse 5

Utuopoe katika maovu, utuongozenkatika maisha

Verse 6

Utuwezeshe tufe kifo chema, tufkenufalme wa mbinguni.