Mali Yako
Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Easter,Ordinary Time,Ordinary Time,Christmas,Ordinary Time,Ordinary Time,Wedding,Easter,Wedding,Wedding,Christmas,Ordinary Time,Wedding,Easter,Lent,Ordinary Time,Wedding,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Christmas,Christmas,Ordinary TimePresentation of Gifts
Verse 1
Mali yako Mali Yako, Mali yako,nna vinatoka kwako vyote mali yako na vinatoka kwako
Mkate wetu nayo divai yetu Dhabihu zetunnayo divai yetu mali yako mali yako mali yako
Verse 2
Mali yako nguvu zangu na uhai wangunfamilia na jamii yangu Fedha nilizonazonni zako mazao nivunayo ni yako
Chorus
Milele! Mi- Mi- Milele (Utukuzwe utukuzwe Bwana Mungu milele) x 2
Maana kwa wema wako tumepokea huu mkate na kutoka kwako tumepokea hii divai.
Verse 4
Mali yako:Umri wangu na ujana wangu
Shida zangu furaha zangu
Na vipaji vyangu vyote x2
Verse 5
Mali yako:Ndoa yangu na uchumba wangu
Utume ukasisi na utawa wangu
Mwili na roho yangu ni vyako x2
Verse 6
Mali yako:Utajiri na elimu yangu
Umaarufu wangu mkubwa
Hadhi niliyo nayo ni yako,
Unyonge wangu pia ni wako