Malaika Wa Bwana

,Ordinary TimePresentation of Gifts
Chorus

Malaika wa Bwana (Mungu)nuchukue sadaka (zetu),nupeleke mbele ya uso wa Bwana x2

Verse 2

Mkate na divai tunakutolea -

Chorus

ni sadaka safi ya kupendeza

Verse 4

Fedha za mifuko tunakutolea -n

Nafsi zetu zote tunakutolea -n

Mazao ya mashamba tunakutolea -