Malaika Gabrieli
Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Easter,Ordinary Time,Ordinary Time,Christmas,Ordinary Time,Ordinary Time,Wedding,Easter,Wedding,Wedding,Christmas,Ordinary Time,Wedding,Easter,Lent,Ordinary Time,Wedding,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,ChristmasThanksgiving
Chorus
Malaika Gabrieli alitumwa na Mungu
Kwenda kmpaka mji wa Galilaya, jina lake Nazareti
Kwa mwanamwali bikira *3
Aliyekuwa ameposwa na Yusufu na Yusufu wa ukoo wa Daudi
Jina lake bikira huyo alikuwa Mariamun
Akaingia nyumbani mwake akasema,n'Salamu Maria umejaa neema
Salamu Maria, Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Yesu mzao wa tumbo lako amebarikiwa'
Verse 2
Tazama utachukua mimba utazaa mwana
Utamwita jina Yesu
Verse 3
Na huyo atakuwa mtukufu ataitwa mwana
Wa yule aliye juuu