SectionsExitMajibu Ya Msalaba

Majibu Ya Msalaba

Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Easter,Ordinary Time,Ordinary Time,Christmas,Ordinary Time,Ordinary Time,Wedding,Easter,Wedding,Wedding,Christmas,Ordinary Time,Wedding,Easter,Lent,Ordinary Time,Wedding,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary TimeExit
Verse 1

Nimejua waziwazi yanapotoka haya,

Na ninayoyatafuta usiku mchana

Yanatoka kwa kiasi na kiwango kamili

Kwa wakati ufaao na lugha sahihi

Yamepita kimo changu cha kuyatafakari

Yana raha mwisho wake machungu mwanzonin{ Yaone, hayakujificha, kabisa, yamefunuliwa

Kwa yule, aliyefunuka, aliye, moyo wazi ae }*2

Nimeyaona, nimeyatambua!

Chorus

{ Majibu majibu he!

Yanatoka pale kwenye msalaba juu }* 2n{ Kimbilio-nah ah aeeh msalaba huu wa Yesu

Tumaini-nah ah aeeh msalaba huu wa Yesu } *2

Verse 3

Kujua kujizuia yale yenye unono

Kujua kuyapokea yale machungu chungu

Verse 4

Kukubali kupokea hasara bila kosa

Kusudi kumsamehe yule aliyekosa

Verse 5

Kukabidhi maumivu kwa Yesu bila shaka

Na kuacha kupanga majibu na muda wake

Verse 6

Kuamini bila mwisho ingawa sijaona

Kutumaini ya kwamba Yesu aweza yote