Majibu Ya Msalaba
Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Easter,Ordinary Time,Ordinary Time,Christmas,Ordinary Time,Ordinary Time,Wedding,Easter,Wedding,Wedding,Christmas,Ordinary Time,Wedding,Easter,Lent,Ordinary Time,Wedding,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary TimeExit
Verse 1
Nimejua waziwazi yanapotoka haya,
Na ninayoyatafuta usiku mchana
Yanatoka kwa kiasi na kiwango kamili
Kwa wakati ufaao na lugha sahihi
Yamepita kimo changu cha kuyatafakari
Yana raha mwisho wake machungu mwanzonin{ Yaone, hayakujificha, kabisa, yamefunuliwa
Kwa yule, aliyefunuka, aliye, moyo wazi ae }*2
Nimeyaona, nimeyatambua!
Chorus
{ Majibu majibu he!
Yanatoka pale kwenye msalaba juu }* 2n{ Kimbilio-nah ah aeeh msalaba huu wa Yesu
Tumaini-nah ah aeeh msalaba huu wa Yesu } *2
Verse 3
Kujua kujizuia yale yenye unono
Kujua kuyapokea yale machungu chungu
Verse 4
Kukubali kupokea hasara bila kosa
Kusudi kumsamehe yule aliyekosa
Verse 5
Kukabidhi maumivu kwa Yesu bila shaka
Na kuacha kupanga majibu na muda wake
Verse 6
Kuamini bila mwisho ingawa sijaona
Kutumaini ya kwamba Yesu aweza yote