Maisha Yangu
Maisha yangu
Maisha yangu ni Yesu Kristu (Bwana wangu)
Uhai wangu
Uhai wangu ni Yesu Kristu (Mwokozi) } * 2nn{ (Haya)n/s/ Enyi wapenzi wa Bwana njoni mjiunge nami, tumsifu Bwana Mungu wetun/a/ Enyi wapenzi wa Bwana wangu njoni pamoja nami, tumsifu Bwana Mungu wetun/t/ Enyi wapenzi wa Bwana wangu njoni mjiunge nami tumsifu Bwana Mungu wetun/b/ Enyi wapenzi wa Bwana tumwimbie Bwana pamoja nami,
Tumsifu Bwana Mungu wetu } *2
Anajua kula yangu, anajua vaa yangu
Anajua niendapo, anajua nitendalo
Maisha yangu yamo mikononi mwake
Anajua mwanzo wangu anajua mwisho wangu
Anajua nilalapo, anajua niamkapo
Tegemeo la maisha yangu ni Yesu
Ananipa kila kitu, ananipa na uhai
Yeye anikumbatia kama mwana wake mpenzi
Pumzi zangu zatoka kwake Bwana wangu
Upendo wake ajabu, huruma yake amini
Msamaha wake kwangu, daima ni wa milele
Ama kweli maisha yangu ni kwa Yesu