SectionsThanksgivingLitukuzeni Jina

Litukuzeni Jina

Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Easter,Ordinary Time,Ordinary Time,Christmas,Ordinary Time,Ordinary Time,Wedding,Easter,Wedding,Wedding,Christmas,Ordinary Time,Wedding,Easter,Lent,Ordinary TimeThanksgiving
Verse 1

Litukuzeni Jina la Mungu daima milele

Enyi mataifa, mshangilieni Mungu wetu

Kwa kuwa Bwana ni Mtukufu wa kutisha

Yeye ni mfalme mkuu wa dunia yote

Sifuni Bwana kwa shangwe

Chorus

{Jina la Mungu lihimidiwe daima milelen( litukuzwe litukuzwe litukuzwe litukuzwe litukuzwe litukuzwe)

Enyi mataifa mhimidini

Kwa kuwa fadhili zake (kwetu sisi) zadumu daima milele } *2

Verse 3

Jina lake Bwana litukuzwe sasa hata milele

Viumbe vya Bwana Sifuni Bwana Mungu wetu

Toka mawio hata machweo ya jua

Sifuni jina lake Bwana Mungu wetu

Sifuni Bwana Mwenyezi

Verse 4

Enyi watumishi sifuni Bwana kutoka Mbinguni

Mbingu nanyi maji, lisifuni jina la Bwana

Wafalme wa dunia nanyi watu wote

Wakuu nanyi wakaazi wote wa dunia

Sifuni Bwana Mwenyezi