Chorus
{ Lipigieni lipigieni mbiu kubwa, jina lake Bwana,
Liwafikie wote walio na kiu yake }*2n{ Hubirini amani ya Bwana, amani ya Bwana
Hubirini upendo, upendo, upendo
Upendo, upendo wa kweli } *2
Verse 2
Kwa jina la Yesu kila goti nalo lipigwe
Na vitu vya Mbinguni na vya duniani
Verse 3
Kwa jina la Yesu ndimi zote nazo zikiri
Yesu Kristu ni Bwana milele yote