SectionsOffertoryLeteni Sadaka Kamili

Leteni Sadaka Kamili

Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Easter,Ordinary Time,Ordinary Time,Christmas,Ordinary Time,Ordinary Time,Wedding,Easter,Wedding,Wedding,Christmas,Ordinary Time,Wedding,EasterOffertory
Chorus

Leteni sadaka kamili ghalani *2n{ Ili chakula kiwemo katika nyumba yangu,

Asema Bwana, Bwana wa majeshi } *2

Verse 2

Mkanijaribu kwa njia hiyo, asema Bwana

Nitafungua milango ya mbingu, asema Bwana

Na kuwamwagia baraka tele, asema Bwana

Verse 3

Mimi ndimi mgawa wa vipaji, asema bwana

Nitawaongezea maarifa, asema Bwana

Ya kuyashinda magumu yoyote, asema BwanaMimi ndimi mgawa wa vipaji, asema bwana

Nitawaongezea maarifa, asema Bwana

Ya kuyashinda magumu yoyote, asema Bwana

Verse 4

Mtakachokiomba nitawapa, asema bwana

Nitawapa vyeo na mali nyingi, asema Bwana

Nakuuondoa umasikini, asema Bwana

Verse 5

Nitawalinda na kuwasitawisha, asema Bwana

Nanyi mtazaa matunda bora, asema Bwana

Yatakayo dumu milele yote, asema Bwana