SectionsEntranceLet Me Sing For You

Let Me Sing For You

Ordinary TimeEntrance
Verse 1

Nakuja waziwazi bila uoga wala aibu pasipo wasiwasi mbele zako ninasimama

Naomba neno moja niruhusu nikushukuru watu wote waone jinsi ninavyo kuthamini

Chorus

Let me sing for you, let me dance for you, let me jump for you I'm praising my lord

Verse 3

Nabisha hodi kwako, nakuita unisikie, nagonga polepole, mungu baba nifungulie

Nitaingia kwake, nitasema na mungu wangu, nitamweleza yote kwa maombi na sala zangun

Kwa shangwe kubwa sana, kwa vigelegele na mbwembwe, kwa nyimbo tamu sana, nimekuja nikushukuru

Pokea dua zangu, ninaleta unyonge wangu, naomba neema yako, nisichoke kukuimbian

Mbingu zinahubiri, sifa zake Mungu mwenyezi, ulimwenguni wote, tunaimba na tunacheza

Angani ndege wote, wanarukaruka pamoja, wanyama na wadudu, wanasifu Jehova Jiren

Milele nitaimba, nikilikabili hekalu nitayasema yote, yale alionitendea wangu, naamini nitauona