Verse 1
Leo tuna furaha nyingi sana,nkwenye harusi ya wazazi wetu
Yaliyobaki na tuseme nini,ntuwape hongera kwa kazi yao
Chorus
Pete mikononi mwao,nfuraha nyusoni mwao
Bwana Mungu twakuomba,nhawa wawili wasiachane
Verse 3
Hongera hiyo hongera kwa wote,nmliyoweza kufika karibu
Kwa vile mmeshashuhudia,nharusi ya hawa wazazi wetu
Verse 4
Yesu naye alikua kanani,nkwenye harusi kubwa sana sana
Alifurahi kuona wawili,nwakiagana kuishi pamojan