Verse 1
Leo ni siku ya Pasaka, tumshangilie Bwana wetu -
Leo ni siku ya Pasaka, tumshangilie Bwana wetu
Mwanakondoo aliyekufa atawala mzima leo
Chorus
Aleluya Bwana Yesu leo ameshinda kifo *2
Aleluya Bwana Yesu leo amshinda kifo *2
Yesu tumaini (letu) kafufuka mfalme (wetu)
Sote na tuimbe, (hosanna) tukimsifu Mfalme (wetu)
Aleluya Bwana Yesu leo ameshinda kifo
Verse 3
Kristu mshindaji wetu atupatanisha na Baba
Katika wafu ametoka tumshangilie Bwana wetu
Verse 4
Maria Magdalena tuambie ni nini ulichoona leo
Niliona kaburi tupu sanda na nguo zimebakinnikawaona malaika wakitangaza ufufuko
Verse 5
Niliona kaburi tupu sanda na nguo zimebakinnikawaona malaika wakitangaza ufufuko
Verse 6
Sasa nasi tuombe atusaidie tushinde pia
Kristu uliyefufuka utuhurumie na sisi
Verse 7
Kristu uliyefufuka utuhurumie na sisi