SectionsEntranceLeo Ni Siku Ya Pasaka

Leo Ni Siku Ya Pasaka

Wedding,Ordinary Time,EasterEntrance
Verse 1

Leo ni siku ya Pasaka, tumshangilie Bwana wetu -

Leo ni siku ya Pasaka, tumshangilie Bwana wetu

Mwanakondoo aliyekufa atawala mzima leo

Chorus

Aleluya Bwana Yesu leo ameshinda kifo *2

Aleluya Bwana Yesu leo amshinda kifo *2

Yesu tumaini (letu) kafufuka mfalme (wetu)

Sote na tuimbe, (hosanna) tukimsifu Mfalme (wetu)

Aleluya Bwana Yesu leo ameshinda kifo

Verse 3

Kristu mshindaji wetu atupatanisha na Baba

Katika wafu ametoka tumshangilie Bwana wetu

Verse 4

Maria Magdalena tuambie ni nini ulichoona leo

Niliona kaburi tupu sanda na nguo zimebakinnikawaona malaika wakitangaza ufufuko

Verse 5

Niliona kaburi tupu sanda na nguo zimebakinnikawaona malaika wakitangaza ufufuko

Verse 6

Sasa nasi tuombe atusaidie tushinde pia

Kristu uliyefufuka utuhurumie na sisi

Verse 7

Kristu uliyefufuka utuhurumie na sisi