Chorus
Leo hii kuna mambo, msema kesho ni muongo
Furaha ya leo ni hakika, furaha shangilieni.
Verse 2
Nasikia leo kuna shangwe,
Ni shangwe ya nini jamani, leo hii.
Verse 3
Mbona nyote mwashangilia
Furaha yote ni ya nini, leo hii
Verse 4
Kumbe leo kuna harusi
Ndiyo maana mwashangalia, leo hii
Verse 5
Hakika na tufanye shangwe
Tuwapongezeni wenzetu, leo hii
Verse 6
Nanyi Bwana na Bibi harusi
Furahi na kushangilia,leo hii