Chorus
Laumu imeuvunja moyo wangu (Imeuvunja)
Imeuvunja (moyo wangu) moyo wangu *2
Verse 2
Nikalegea nikatazamia wa kunisikitikia
Nisimwone, Na wa kunituliza asipatikane
Verse 3
Wakanipa nyongo, hicho ndicho wakasemanchakula changu, uovu gani,
Nilipoona kiu wakanipa siki
Verse 4
Yamenizua mikono yangu na miguu yangu
Naweza kuhesabu mifupa yangunote ya mwilini mwangu
Verse 5
Ee Mungu wangu usikawie
Ufanye haraka uje kuniokoa,
Watesi wafurahi kushindwa kwangu