SectionsExitLala Kitoto Cha Mbingu

Lala Kitoto Cha Mbingu

Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Easter,Ordinary Time,Ordinary Time,ChristmasExit
Chorus

Lala kitoto cha Mbingu, lala sinzia lala

Malaika wake Mungu atakutunzia

Lala kitoto cha Mbingu, lala sinzia lala

Malaika wake Mungu atakutunziann{ Lala (kitoto) lala lala (sinzia) lala (sinzia)

Lala kitoto lala sinzia Mwana wa Mungu }*2

Verse 2

Lala kitoto lala, sinzia mtoto

Malaika wa Mungu atakutunzia

Lala Mwana wa Mungu, Mungu wetu sinzia

Malaika wake Mungu atakutunzia

Verse 3

Maria na Yusufu, wambusu kitotonwachungaji wanapiga magoti kusujudia

Ni mfalme wa amani, mshauri wa amani

Mungu Mwenyezi Baba yetu, wa milele milele

Verse 4

Nasi twendeni hima, tukamwone mtoto

Tumsalimie yeye, pamoja naye Mama Maria

Tumsujudie Mfalme, tumtolee zawadi,

Ndiye Mkombozi aliyekuja, kwa ajili yetu sisi