Chorus
Lala kitoto cha Mbingu, lala sinzia lala
Malaika wake Mungu atakutunzia
Lala kitoto cha Mbingu, lala sinzia lala
Malaika wake Mungu atakutunziann{ Lala (kitoto) lala lala (sinzia) lala (sinzia)
Lala kitoto lala sinzia Mwana wa Mungu }*2
Verse 2
Lala kitoto lala, sinzia mtoto
Malaika wa Mungu atakutunzia
Lala Mwana wa Mungu, Mungu wetu sinzia
Malaika wake Mungu atakutunzia
Verse 3
Maria na Yusufu, wambusu kitotonwachungaji wanapiga magoti kusujudia
Ni mfalme wa amani, mshauri wa amani
Mungu Mwenyezi Baba yetu, wa milele milele
Verse 4
Nasi twendeni hima, tukamwone mtoto
Tumsalimie yeye, pamoja naye Mama Maria
Tumsujudie Mfalme, tumtolee zawadi,
Ndiye Mkombozi aliyekuja, kwa ajili yetu sisi