Chorus
Kwako Bwana zinatoka sifa zangu (sifa zangu) * 4
Katika katika kusanyiko katika kusanyiko kubwa
Aleluya aleluya aleluya
Verse 2
Nitaziondoa nadhiri zangu,
Mbele ya wamchao * 2
Wapole watakula na kushiba,
Wamtafutao Bwana wataamsifu
Verse 3
Miisho yote ya dunia itakumbukwa
Na watu watamrejea Bwana *2
Jamaa zote za mataifa watamsujudia,
Wakwasi wote wa dunia watakula na kusujudu
Verse 4
Zitasimuliwa habari za Bwanankwa kizazi kitakachokuja *2
Nao watawahubiri watakaozaliwa haki yake
Ya kwamba ndiye aliyefanya ndiye aliyefanya