SectionsEntranceKwa Sherehe Na Shukrani

Kwa Sherehe Na Shukrani

Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,EasterEntrance
Verse 1

Kwa sherehe na shukrani ya moyo,nwakristu leo tufanye shangwe

Tumwimbie Mwokozi siku hiyo,namefufuka tufurahiwe

Chorus

Amefufuka asifiwe,ntukaokoke kwa ufufuko we

Verse 3

Maria Salome na Magdalenenkaburini wenda alfajiri

Nayo manukato na manemanenkumtia Yesu kama desturi

Verse 4

Mlangoni mwa kaburi wakifika,nwalikuta ndani yake wazi

Waambiwa mara na malaika,nhamo amefufuka Mkombozi

Verse 5

Yesu u mfano wangu maishani,nnipendelee utakatifu

Nitatoka nami mzima kaburini,nnitafufuka mwenye utukufu