Chorus
Twendeni wote, twendeni wote,ntumwabudu Bwana, Kwa furahan
Verse 2
Ulimwengu wote mali yakentwatambua (kwa furaha)n
Verse 3
Ni wajibu wetu kumwabudu nni hakika (kwa furaha)n
Verse 4
Mbele ya miungu tumsujudu
Muumba wetu (Kwa furaha)n
Verse 5
Sifa na uwezo vyatoka kwake njamani milele (Kwa furaha)n