SectionsEntranceKwa Nyimbo Nzuri

Kwa Nyimbo Nzuri

Marian,Ordinary Time,BaptismEntrance
Verse 1

Kwa nyimbo nzuri za furaha,nnjooni nyote mbele za Bwana

Kwa shangwe na vigelegele,ntumwimbie Mfalme wetu

Chorus

Mataifa yote simameni mbele zake Bwana,

Makabila yote njoni leo nazo ngoma zenu

Chezeni mbele za Bwana!n{ Wajaluo na waimbe nyimbo

Wamasai na waruke juu

Wabaluhyia na wapige ngoma

Wakikuyu na wacheze sana,

Watu wote sisimukeni,

Shangwe nderemo na kelele, pigeni makofi } *2

Verse 3

Vinanda vifijo kelele,nmakofi machezo nderemo

Kusifu kweli kwawapasa,nenyi wanyofu wa moyo

Verse 4

Pigieni Mungu kelele,nimbeni utukufu wake

Tukuzeni sifa za Mungu,ntangazeni matendo yaken

Verse 5

Shukuruni Bwana kwa zeze,nkwa kinanda cha nyuzi kumi

Mfanyieni Bwana shangwe,nmtumikieni kwa furahan