Chorus
Bwana ee Bwana, kwa nini wasimama mbali
Ee Bwana ee Bwana, kwa nini wasimama mbalin{ Kwa nini kujificha na kujificha nyakati za shida
Kwa nini kujificha Bwana nyakati za shida } *2
Verse 2
Kwa kiburi chake mtu asiye haki
Mnyonge anafuatiwa anafuatiwa kwa ukali
Na wanaswe kwa hila hizo hizo walizoziwaza
Verse 3
Maana mdhalimu, mdhalimu hujisifia
Hujisifia sifia tamaa ya nafsi yake
Na mwenye uchoyo humkataa Bwana na kumdharau
Verse 4
Asema moyoni mwake, asema sitaondoshwa
Kizazi hata kizazi, sitakuwamo taabuni
Kinywa chake kimejaa laana na hila na dhuluma