SectionsExitKwa Nini Wasimama Mbali

Kwa Nini Wasimama Mbali

LentExit
Chorus

Bwana ee Bwana, kwa nini wasimama mbali

Ee Bwana ee Bwana, kwa nini wasimama mbalin{ Kwa nini kujificha na kujificha nyakati za shida

Kwa nini kujificha Bwana nyakati za shida } *2

Verse 2

Kwa kiburi chake mtu asiye haki

Mnyonge anafuatiwa anafuatiwa kwa ukali

Na wanaswe kwa hila hizo hizo walizoziwaza

Verse 3

Maana mdhalimu, mdhalimu hujisifia

Hujisifia sifia tamaa ya nafsi yake

Na mwenye uchoyo humkataa Bwana na kumdharau

Verse 4

Asema moyoni mwake, asema sitaondoshwa

Kizazi hata kizazi, sitakuwamo taabuni

Kinywa chake kimejaa laana na hila na dhuluma