Verse 1
Na nyumbani mwake Bwana, nani ataingia
Bwana yuko mlangoni, atungoja tuingie
Twendeni wote kwake, tumtolee ibada kweli
Chorus
Kwa nini nisiende (nyumbani) *2
Niingie nyumbani mwake
Kwa nini nisiende (nyumbani) *2
Nishiriki karamuye
Kwa nini nisiende (nyumbani) *2
Nimshukuru Muumba wangu
Verse 3
Kina baba tuingie, kina mama tuingie
Tukamuimbie Bwana, nyimbo nzuri za furaha
Verse 4
Vijana tuingie, na watoto tuingine
Tukamuimbe Bwana, nyimbo nzuri za furaha
Verse 5
Makasisi tuingie, na watawa tuingie
Tukamuimbe Bwana, nyimbo nzuri za furaha
Verse 6
Tupige vigele gele, kayamba ngoma tucheze
Kuruka pia turuke, shingo na zinesenese