SectionsExitKwa Nini Malumbano

Kwa Nini Malumbano

Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary TimeExit
Chorus

{ Mbona watu wa mataifa wanafanya ghasia (ghasia)

Na kuivuruga amani kati ya mataifa } *2n{n/b/ Kwa nini vita na malumbano viwepo,

Amani imetoweka, kwa nini viwepo viwepo,nkwa nini vita kwa nini vita viwepo kati yetu

Sisi tulio kweli watoto wake Baba mmojann/t/ Kwa nini vita na malumbano viwepo kati yetu,nsisi tulio kitu kimoja kwa nini vita viwepo kati yetu

Sisi tulio kweli watoto wake Baba mmojann/a/ Kwa nini vita na malumbano viweponkati yetu kwa nini vita viwepo kati yetu

Sisi tulio kweli watoto wake Baba mmojann/s/ Kwa nini vita na malumbano vita viwepo kati yetu

Sisi tulio kweli watoto wake Baba mmoja } *2

Verse 2

Babu na bibi hawaelewani,

Baba na mama, Kaka na dada wamefarakana

Wamemsahau Mungu Baba

Verse 3

Bila huruma, wengi wanaua,

Watoto wasio na hatia, mbona wanatupwa,

Sasa hukumu i juu yenu