Verse 1
Kwa maji matakatifu Baba tubariki
Tubariki Baraka toka kwa Mungu Baba *2
Chorus
Inueni mioyo, pazeni sauti mpate Baraka *2
Verse 3
Kwa maji matakatifu Mwana tubariki
Tubariki Baraka toka kwa Mungu Mwana *2
Verse 4
Kwa maji matakatifu Roho tubariki
Tubariki Baraka toka kwa Mungu Roho *2
Verse 5
Baraka hizo mkae nazo kwani
Kwani Kristu Kristu alipenda kanisa *2