SectionsEntranceKwa Maji Matakatifu

Kwa Maji Matakatifu

Ordinary TimeEntrance
Verse 1

Kwa maji matakatifu Baba tubariki

Tubariki Baraka toka kwa Mungu Baba *2

Chorus

Inueni mioyo, pazeni sauti mpate Baraka *2

Verse 3

Kwa maji matakatifu Mwana tubariki

Tubariki Baraka toka kwa Mungu Mwana *2

Verse 4

Kwa maji matakatifu Roho tubariki

Tubariki Baraka toka kwa Mungu Roho *2

Verse 5

Baraka hizo mkae nazo kwani

Kwani Kristu Kristu alipenda kanisa *2