SectionsExitKwa Furaha Tutakuita Mbarikiwa

Kwa Furaha Tutakuita Mbarikiwa

Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,MarianExit
Chorus

Kwa furaha kuu twakuita wewe mbarikiwa

Mama yetu twakutukuza wewe una heri

Kwa imani twaleta mikononi mwako

Binadamu wote, wakiwa na matumaini na hofu zao

Usiwaache wakose mwanga wa kweli

Usiwaache wakose mwanga wa kweli

Verse 2

Duniani ulitangulia, kanisa mama utuombee

Verse 3

Utulinde Bikira Maria, utupe na neema ya wokovu

Verse 4

Utufikishe uwinguni, tufurahi pamoja milele